Tuesday, July 12, 2016

VIDEO: Mo Music kazungumza haya kuhusu uongozi wake uliopita….


Kama utakuwa unakumbuka Mo Music hivi karibuni aliingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutangaza kwamba ameachana na menejimenti yake iliyokuwa ikisimamia kazi zake.


Sasa Ayo TV imemtafuta na kumuuliza sababu zilizomfanya achukue uamuzi huo na kusema…’Sidhani kama nitaliongea zaidi hilo kwanza ningependa kuwapongeza kwamba wamenitoa mbali mpaka hapa nilipofika, kitu ambacho sitaweza kuwasahau ni pale ambapo nilipokuwa nikipata matatizo wanaonesha ushirikiano mzuri sana’- Mo Music


No comments:

Post a Comment