Monday, July 11, 2016

WEMA NI BRAND: Bidhaa mpya ya Wema Sepetu… anavyoendelea kutengeneza pesa kwa jina lake

Nguvu ya mwigizaji staa wa Tanzania Wema Sepetu  kutengeneza zaidi bidhaa zenye jina lake na kuziuza kwa Watanzania inaendelea kuonekana, ni juzijuzi tu alileta lipstick zenye jina la KISS BY WEMA.

Sasa leo July 11 2016 kupitia Instagram yake Wema Sepetu ametangaza rasmi ujio wa bidhaa yake nyingine ambayo hii ni ya mguuni na iko simple kwa namna hiyo.

Kaandika ‘mara nyingi napenda sana viatu vya chini na vya asilia… nikajionea kwanini nisitengeneze cha aina hiyo?jipatieWema sepetu flops kwa shilingi 12000 kwa jumla na 15000 rejareja, toa oda yako sasa na tutakizindua rasmi tar 29 ambapo mwenyewe ntakuuzia…#UsikuWaWazaramu Loading….. namba ya kupiga kwa ajili ya kuplace order yako ni 0655066565…. vipo design nyiiiingi na rangi nyingi mnoooo’


No comments:

Post a Comment