Tuesday, July 12, 2016

PICHA 10: Kutoka Ikulu wakati wa kiapo cha ahadi ya uadilifu kwa wakurugenzi wateule

 


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Kassim Majaliwa 
 

Rais John Pombe Magufuli  
 

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan 
 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Luhende Pius ambaye  kumekuwa na taarifa potofu juu ya taaluma yake.  
 

Kamishna wa Maadili kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji (Mst.) Salome Kaganda
 




No comments:

Post a Comment