“Baada ya kukamilisha filamu yangu, niliipeleka staps na stap wakaniambia sasa hivi hawachukui filamu ilimradi, wanachukua filamu ambazo pia zitaonyeshwa Sinema, kwa hiyo wanaangalia na viwango, na filamu yangu imechelewa kwa sababu ilikuwa na marekebisho kidogo,” alisema Faiza.
Mwigizaji huyo amesema mpaka sasa ratiba aliyonayo filamu hiyo itaingia sokoni mwezi wa tisa.Ndani ya filamu hiyo, Faiza ameigiza kama Mama huku Gabo Zigamba akichukua nafasi ya Baba.
No comments:
Post a Comment