Hivi karibuni nilikutana na Maromboso na Aslay ambapo miongoni na mambo mengine, niliwauliza kuhusu kama bado wako vizuri na muimbaji huyo ambaye awali ilisemekana kuwa aliwaletea pozi kuonekana kwenye video yao japo naye aliwatupia lawama kuwa walileta ubabaishaji.
“Kila kitu kiko sawa, hakuna utofauti wowote, sijabahatika kuonana na Ruby tangia tumetoa video,” alisema Aslay wakati akifanya mahojiano na bongo 5 angalia hapa:
No comments:
Post a Comment