Thursday, August 18, 2016

Bow Wow na Christina Aguilera waungana kwenye show mpya ya TV

Rapper kutoka Marekani, Shad Moss aka Bow Wow ataungana na Christina Aguilera kwenye kipindi kipya cha TV cha ‘Tracks’.
Kipindi hicho kinachotarajiwa kuanza kuonyeshwa kuanzia Septemba 1 mwaka huu na kitakuwa kinahusu watu tofauti kuweza kutaja majina ya nyimbo zinazochezwa kwa sekunde chache.
“It’s like a live concert where a game show breaks out,” amesema Bow Wow kwenye trailer ya kipande cha video ya show hiyo. Bow Wow anatarajiwa kuwa mtangazaji wa show hiyo huku Christina Aguilera akiwa mtayarishaji wake


No comments:

Post a Comment