Monday, July 11, 2016

VIDEO: Shabiki huyu mtoto wa Portugal akimbembeleza wa Ufaransa aliyekua analia baada ya kufungwa


Hakuna mtu ambaye hupenda timu anayoishabikia ifungwe au kushindwa kwenye fainali na katika hao mashabiki wako ambao wanahisia nzito zaidi kama huyu wa Ufaransa aliyeshikwa na machungu baada ya timu yake kushindwa kwenye fainali za EURO 2016 jana Ufaransa

No comments:

Post a Comment