Monday, July 11, 2016

Uharibifu wa ajali ya Lori daraja la Kigamboni jana matengenezo analipia nani?


Ilitokea ajali ya Lori lililokua na Kontena kwenye daraja la Nyerere Kigamboni Dar es salaam usiku wa kuamkia July 11 2016 ambapo ajali hiyo imesababisha majeruhi pamoja na eneo la barabara kuharibiwa, Meneja msimamizi kwenye hili daraja Gerald Sondo kaongea hapa chini kwenye hii video.akihojia na AyoTv

No comments:

Post a Comment