Ilitokea ajali ya Lori lililokua na Kontena kwenye daraja la Nyerere Kigamboni Dar es salaam usiku wa kuamkia July 11 2016 ambapo ajali hiyo imesababisha majeruhi pamoja na eneo la barabara kuharibiwa, Meneja msimamizi kwenye hili daraja Gerald Sondo kaongea hapa chini kwenye hii video.akihojia na AyoTv
No comments:
Post a Comment