Staa huyo ameshare picha akiwa mbele ya jumba la kifahari na warembo wanane jijini Johannesburg, Afrika Kusini alikokuwa huko mwezi uliopita.
Pia ameshare video akiwa na video queen aitwaye, Michaela Roy
Haijulikani video hiyo itatoka lini lakini kama ameanza kuonjesha vitu hivyo sasa hivi kuna dalili kuwa hivi karibuni atakinukisha.
No comments:
Post a Comment